Nenda kwa yaliyomo

desturi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

desturi

  1. mazoea
  2. jambo la kawaida la kutendwa kila siku
  3. Mila au taratibu zinazofuatwa na jamii kwa muda mrefu na kurithishwa kizazi hadi kizazi
    Mfano:Ni desturi katika jamii nyingi za Kiafrika kuwaheshimu wazee

Tafsiri

[hariri]