1898
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| ►
◄◄ |
◄ |
1894 |
1895 |
1896 |
1897 |
1898
| 1899
| 1900
| 1901
| 1902
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1898 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
kati ya Machi na Mei - Hastings Kamuzu Banda, rais wa Malawi (1966-1994)
- 26 Aprili - Vicente Aleixandre (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1977)
- 22 Julai - Stephen Vincent Benét, mwandishi kutoka Marekani
- 29 Julai - Isidor Rabi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1944
- 20 Agosti - Vilhelm Moberg, mwandishi kutoka Uswidi
- 24 Agosti - Albert Claude (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1974)
- 24 Septemba - Howard Walter Florey (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945)
- 26 Septemba - George Gershwin (mtungaji wa muziki Mmarekani)
- 26 Novemba - Karl Ziegler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963)
bila tarehe
- Albert Lutuli, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1960
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 20 Januari - Ivan Shishkin, mchoraji wa Urusi
- 30 Julai - Otto von Bismarck, Chansella wa Dola la Ujerumani (1862-1890)
